1“Kimbieni kwa usalama wenu, enyi watu wa Benyamini!
2Nitamwangamiza Binti Sayuni,
3Wachungaji pamoja na makundi yao
4“Jiandaeni kwa vita dhidi yake!
5Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku,
6Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:
7Kama vile kisima kinavyomwaga maji yake,
8Pokea onyo, ee Yerusalemu,
9Hivi ndivyo asemavyo Bwana Mwenye Nguvu Zote:
10Niseme na nani na kumpa onyo?
11Lakini nimejaa ghadhabu ya Bwana,
12Nyumba zao zitapewa watu wengine,
13“Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,
14Wanafunga majeraha ya watu wangu
15Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao
16Hivi ndivyo asemavyo Bwana:
17Niliweka walinzi juu yenu na kusema,
18Kwa hiyo sikilizeni, enyi mataifa,
19Sikia, ee nchi:
20Unanifaa nini uvumba kutoka Sheba,
21Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo Bwana:
22Hivi ndivyo asemavyo Bwana:
23Wamejifunga pinde na mkuki,
24Tumesikia taarifa zao,
25Usitoke kwenda mashambani
26Enyi watu wangu, vaeni magunia
27“Nimekufanya wewe kuwa kitu cha kujaribu chuma,
28Wote ni waasi sugu,
29Mivuo inavuma kwa nguvu,
30Wanaitwa fedha iliyokataliwa,