1Kuhusu Moabu:
2Moabu haitasifiwa tena;
3Sikiliza kilio kutoka Horonaimu,
4Moabu utavunjwa,
5Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi,
6Kimbieni! Okoeni maisha yenu,
7Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu,
8Mharabu atakuja dhidi ya kila mji,
9Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu,
10“Alaaniwe yeye afanyaye kazi ya Bwana kwa hila!
11“Moabu amestarehe tangu ujana wake,
12Lakini siku zinakuja,”
13Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi,
14“Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa,
15Moabu ataangamizwa na miji yake itavamiwa,
16“Kuanguka kwa Moabu kumekaribia,
17Ombolezeni kwa ajili yake, ninyi nyote mnaomzunguka,
18“Shuka kutoka fahari yako
19Simama kando ya barabara na utazame,
20Moabu amefedheheshwa, kwa kuwa amevunjavunjwa.
21Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu:
22katika Diboni, Nebo
23katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli
24katika Keriothi na Bosra;
25Pembe48:25 Pembe hapa ni ishara ya nguvu. ya Moabu imekatwa,
26“Mlevye,
27Je, Israeli hakuwa kitu chako cha kudhihakiwa?
28Ondokeni kwenye miji yenu, mkaishi katikati ya miamba,
29“Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:
30Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,”
31Kwa hiyo namlilia Moabu,
32Ninalia machozi kwa ajili yenu, kama Yazeri aliavyo,
33Shangwe na furaha vimetoweka
34“Sauti ya kilio chao inapanda
35Nitakomesha wale wote katika Moabu
36“Kwa hiyo moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi;
37Kila kichwa kimenyolewa
38Juu ya mapaa yote katika Moabu
39“Tazama jinsi alivyovunjikavunjika!
40Hili ndilo asemalo Bwana:
41Miji itatekwa na ngome zake
42Moabu ataangamizwa kama taifa
43Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea,
44“Yeyote atakayeikimbia hiyo hofu kuu
45“Katika kivuli cha Heshboni,
46Ole wako, ee Moabu!
47“Lakini nitarudisha mateka wa Moabu,