1Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana:
2“Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.
3Siku zinakuja,’ asema Bwana, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema Bwana.”
4Haya ndiyo maneno Bwana aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:
5“Hili ndilo asemalo Bwana:
6Ulizeni na mkaone:
7Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!
8“ ‘Katika siku ile,’ asema Bwana Mwenye Nguvu Zote,
9Badala yake, watamtumikia Bwana, Mungu wao
10“ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,
11Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’
12“Hili ndilo asemalo Bwana:
13Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,
14Wale walioungana nawe wote wamekusahau,
15Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,
16“ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;
17Lakini nitakurudishia afya yako
18“Hili ndilo asemalo Bwana:
19Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao
20Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa
21Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;
22‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,
23Tazama, tufani ya Bwana
24Hasira kali ya Bwana haitarudi nyuma