1Ndipo Ayubu akaendelea na hoja yake, akasema:
2“Hakika kama Mungu aishivyo, aliyeninyima haki yangu,
3kwa muda wote nitakaokuwa na uhai ndani yangu,
4midomo yangu haitanena uovu,
5Sitakubaliana nanyi kabisa kuwa mko sahihi;
6Nitadumisha haki yangu wala sitaiacha;
7“Watesi wangu wawe kama waovu,
8Kwa maana mtu asiyemcha Mungu
9Je, Mungu husikiliza kilio chake,
10Je, anaweza kumfurahia Mwenyezi?
11“Nitawafundisha juu ya uweza wa Mungu;
12Ninyi nyote mmeona hili wenyewe.
13“Hili ndilo fungu ambalo Mungu humpa mtu mwovu,
14Hata kama watoto wake watakuwa wengi kiasi gani,
15Tauni itawazika wale watakaonusurika miongoni mwao,
16Ajapokusanya fedha nyingi kama mavumbi,
17yale yote mtu mwovu aliyojiwekea akiba, mwenye haki atayavaa,
18Nyumba aijengayo ni kama utando wa buibui,
19Yeye hulala akiwa tajiri, lakini ndiyo mara ya mwisho;
20Vitisho humjia kama mafuriko;
21Upepo mkali wa mashariki humchukua, naye hutoweka;
22Humvurumisha bila huruma,
23Upepo humpigia makofi kwa dharau,