1Bildadi Mshuhi akajibu:
2“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya?
3Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama,
4Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande
5“Taa ya mwovu imezimwa,
6Mwanga hemani mwake umekuwa giza;
7Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa;
8Miguu yake imemsukumia kwenye wavu,
9Tanzi litamkamata kwenye kisigino;
10Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake;
11Vitisho vimemtia hofu kila upande,
12Janga linamwonea shauku;
13Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake;
14Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake,
15Moto utakaa katika hema lake;
16Mizizi yake chini itakauka
17Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia,
18Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani,
19Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake,
20Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata;
21Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu;