We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 15

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 14 Ayubu Ayubu 16 →

1Kisha Elifazi Mtemani akajibu:

2“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu,

3Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa,

4Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu

5Dhambi yako inasukuma kinywa chako,

6Kinywa chako mwenyewe kinakuhukumu, wala si changu;

7“Je, wewe ni mtu wa kwanza kuzaliwa?

8Je, wewe husikiliza mashauri ya siri ya Mungu?

9Wewe unajua kitu gani tusichokijua sisi?

10Wale wenye mvi na wazee wako upande wetu,

11Je, faraja za Mungu hazikutoshi,

12Kwa nini moyo wako unakudanganya,

13ili kwamba upate kutoa hasira yako dhidi ya Mungu,

14“Mwanadamu ni kitu gani, hata aweze kuwa safi,

15Kama Mungu hawaamini watakatifu wake,

16sembuse mwanadamu ambaye ni mwovu na mpotovu,

17“Nisikilize mimi nami nitakueleza,

18ambayo watu wenye hekima wameyanena,

19(wakati ambao wao peke yao ndio walipewa nchi,

20Mtu mwovu siku zake zote hupata mateso,

21Sauti za kutisha hujaa masikioni mwake;

22Hukata tamaa kuokoka gizani;

23Hutangatanga, akitafuta chakula;

24Taabu na maumivu makuu vinamtia hofu;

25kwa sababu amemkunjia Mungu ngumi yake

26kwa kiburi akishambulia dhidi ya Mungu

27“Ingawa uso wake umefunikwa na mafuta kwa unene

28ataishi katika miji ya magofu,

29Hatatajirika tena, nao utajiri wake hautadumu,

30Hatatoka gizani;

31Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili,

32Atakuwa amelipwa kikamilifu kabla ya wakati wake,

33Atafanana na mzabibu uliopukutishwa matunda yake kabla hayajaiva,

34Kwa kuwa jamii ya wasiomcha Mungu watakuwa tasa,

35Hutunga mimba ya madhara na kuzaa uovu;

← Ayubu 14 Ayubu Ayubu 16 →