1Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza,
2Mataifa wataona haki yako,
3Utakuwa taji ya fahari mkononi mwa Bwana,
4Hawatakuita tena Aliyeachwa,
5Kama vile kijana aoavyo mwanamwali,
6Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, ee Yerusalemu,
7msimwache apumzike hadi atakapoufanya imara Yerusalemu
8Bwana ameapa kwa mkono wake wa kuume
9lakini wale waivunao nafaka wataila
10Piteni, piteni katika malango!
11Bwana ametoa tangazo
12Wataitwa Watu Watakatifu,