1“Njooni, ninyi nyote wenye kiu,
2Kwa nini kutumia fedha kwa kitu ambacho si chakula,
3Tegeni sikio mje kwangu,
4Tazama, nimemfanya kuwa shahidi wa mataifa,
5Hakika utaita mataifa usiyoyajua,
6Mtafuteni Bwana maadamu anapatikana;
7Mtu mwovu na aiache njia yake,
8“Kwa kuwa mawazo yangu si mawazo yenu,
9“Kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,
10Kama vile mvua na theluji
11ndivyo lilivyo neno langu lile litokalo kinywani mwangu:
12Mtatoka nje kwa furaha
13Badala ya kichaka cha miiba