1“Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo,
2ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu,
3Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani,
4Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi;
5Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani,
6Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote.
7Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani;
8Hujayasikia wala kuyaelewa,
9Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe
10Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha,
11Kwa ajili yangu mwenyewe,
12“Ee Yakobo, nisikilize mimi,
13Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia,
14“Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize:
15Mimi, naam, Mimi, nimenena;
16“Nikaribieni na msikilize hili:
17Hili ndilo asemalo Bwana,
18Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu,
19Wazao wako wangekuwa kama mchanga,
20Tokeni huko Babeli,
21Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani;
22“Hakuna amani kwa waovu,” asema Bwana.