1“Hili ndilo asemalo Bwana kwa mpakwa mafuta wake,
2Nitakwenda mbele yako
3Nitakupa hazina za gizani,
4Kwa ajili ya Yakobo mtumishi wangu,
5Mimi ndimi Bwana, wala hakuna mwingine,
6ili kutoka mawio ya jua
7Mimi ninaumba nuru na kuhuluku giza,
8“Enyi mbingu juu, nyesheni haki,
9“Ole wake yeye ashindanaye na Muumba wake,
10Ole wake amwambiaye baba yake,
11“Hili ndilo asemalo Bwana,
12Mimi ndiye niliyeumba dunia
13Mimi nitamwinua Koreshi katika haki yangu:
14Hili ndilo asemalo Bwana:
15Hakika wewe u Mungu unayejificha,
16Wote watengenezao sanamu wataaibika na kutahayarika;
17Lakini Israeli ataokolewa na Bwana
18Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana,
19Sijasema sirini,
20“Kusanyikeni pamoja mje,
21Tangazeni litakalokuwepo, lisemeni hilo,
22“Nigeukieni mimi, nanyi mkaokolewe,
23Nimeapa kwa nafsi yangu,
24Watasema kuhusu mimi,
25Lakini katika Bwana wazao wote wa Israeli