1Wafarijini, wafarijini watu wangu,
2Sema na Yerusalemu kwa upole,
3Sauti ya mtu aliaye:
4Kila bonde litainuliwa,
5Utukufu wa Bwana utafunuliwa,
6Sauti husema, “Piga kelele.”
7Majani hunyauka na maua huanguka,
8Majani hunyauka na maua huanguka,
9Wewe uletaye habari njema Sayuni,
10Tazameni, Bwana Mwenyezi anakuja na nguvu,
11Huchunga kundi lake kama mchungaji wa mifugo:
12Ni nani aliyepima maji ya bahari
13Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana,
14Ni nani ambaye Bwana ametaka shauri kwake ili kumwelimisha,
15Hakika mataifa ni kama tone ndani ya ndoo,
16Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni,
17Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu,
18Basi, utamlinganisha Mungu na nani?
19Kwa habari ya sanamu, fundi huisubu,
20Mtu aliye maskini sana asiyeweza kuleta sadaka kama hii
21Je, hujui?
22Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia,
23Huwafanya wakuu kuwa si kitu,
24Mara baada ya kupandwa,
25“Utanilinganisha mimi na nani?
26Inueni macho yenu mtazame mbinguni:
27Kwa nini unasema, ee Yakobo,
28Je wewe, hufahamu?
29Huwapa nguvu waliolegea
30Hata vijana huchoka na kulegea,
31bali wale wamtumainio Bwana