We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 21

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 20 Isaya Isaya 22 →

1Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:

2Nimeonyeshwa maono ya kutisha:

3Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,

4Moyo wangu unababaika,

5Wanaandaa meza,

6Hili ndilo Bwana analoniambia:

7Anapoona magari ya vita

8Naye mlinzi alipaza sauti,

9Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita

10Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,

11Neno kuhusu Duma:

12Mlinzi anajibu,

13Neno kuhusu Arabia:

14leteni maji kwa wenye kiu,

15Wanaukimbia upanga,

16Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.

17Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” Bwana, Mungu wa Israeli, amesema.

← Isaya 20 Isaya Isaya 22 →