1Nikatazama tena nikaona uonevu wote uliokuwa unafanyika chini ya jua:
2Nami nikasema kwamba wafu,
3Lakini aliye bora kuliko hao wawili
4Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.
5Mpumbavu hukunja mikono yake
6Afadhali konzi moja pamoja
7Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:
8Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake,
9Wawili ni afadhali kuliko mmoja,
10Kama mmoja akianguka,
11Pia, kama wawili wakilala pamoja
12Ingawa mtu mmoja aweza kushindwa,
13Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.
14Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.
15Nikaona kwamba wote walioishi na kutembea chini ya jua walimfuata kijana, aliyepokea ufalme.
16Hapakuwa na kikomo cha watu wote aliowatawala. Lakini wale waliokuja baadaye hawakufurahia kazi ya yule aliyepokea ufalme. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.