1Tupa mkate wako juu ya maji,
2Wape sehemu watu saba, naam hata wanane,
3Kama mawingu yamejaa maji,
4Yeyote atazamaye upepo hatapanda,
5Kama vile usivyofahamu njia ya upepo,
6Panda mbegu yako asubuhi,
7Nuru ni tamu,
8Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani,
9Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana,
10Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako