1Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.
2Alisema:
3Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu,
4sheria ile Mose aliyotupa sisi,
5Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni33:5 Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli.
6“Reubeni na aishi, asife,
7Akasema hili kuhusu Yuda:
8Kuhusu Lawi alisema:
9Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake,
10Humfundisha Yakobo mausia yako
11Ee Bwana, bariki ustadi wake wote,
12Kuhusu Benyamini akasema:
13Kuhusu Yosefu akasema:
14pamoja na vitu vilivyo bora sana
15pamoja na zawadi bora sana
16pamoja na baraka nzuri mno
17Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza;
18Kuhusu Zabuloni akasema:
19Watawaita mataifa kwenye mlima,
20Kuhusu Gadi akasema:
21Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote
22Kuhusu Dani akasema:
23Kuhusu Naftali akasema:
24Kuhusu Asheri akasema:
25Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba,
26“Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni,
27Mungu wa milele ni kimbilio lako,
28Hivyo Israeli ataishi salama peke yake.
29Ee Israeli, wewe umebarikiwa!