1Wimbo ulio bora wa Solomoni.
2Unibusu kwa busu la kinywa chako,
3Manukato yako yananukia vizuri,
4Nichukue twende nawe, na tufanye haraka!
5Mimi ni mweusi, lakini napendeza,
6Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi,
7Niambie, wewe ambaye ninakupenda,
8Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote,
9Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike
10Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli,
11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu,
12Wakati mfalme alipokuwa mezani pake,
13Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane
14Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina
15Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
17Nguzo za nyumba yetu ni mierezi,