We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

2 Samweli 22

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← 2 Samweli 21 2 Samweli 2 Samweli 23 →

1Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.

2Akasema:

3Mungu wangu ni mwamba wangu,

4Ninamwita Bwana, anayestahili kusifiwa,

5“Mawimbi ya mauti yalinizunguka,

6Kamba za kuzimu22:6 Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisilo na mwisho. zilinizunguka,

7Katika shida yangu nalimwita Bwana,

8“Dunia ilitetemeka na kutikisika,

9Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

10Akazipasua mbingu akashuka chini,

11Alipanda juu ya kerubi akaruka,

12Alifanya giza hema lake la kujifunika:

13Kutokana na mwanga wa uwepo wake

14Bwana alinguruma kutoka mbinguni,

15Aliipiga mishale na kutawanya adui,

16Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

17“Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

18Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

19Walinikabili siku ya msiba wangu,

20Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

21“Bwana alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

22Kwa maana nimezishika njia za Bwana;

23Sheria zake zote zi mbele yangu,

24Nimekuwa sina hatia mbele zake,

25Bwana amenilipa sawasawa na uadilifu wangu,

26“Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu,

27kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu,

28Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

29Wewe ni taa yangu, Ee Bwana.

30Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

31“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu;

32Kwa maana ni nani aliye Mungu

33Mungu ndiye anivikaye nguvu

34Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

35Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

36Hunipa ngao yako ya ushindi,

37Huyapanua mapito yangu,

38“Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta,

39Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena;

40Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

41Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

42Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

43Niliwaponda kama mavumbi ya nchi;

44“Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;

45nao wageni huja wakininyenyekea,

46Wote wanalegea,

47“Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

48Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

49aniwekaye huru toka kwa adui zangu.

50Kwa hiyo nitakusifu, Ee Bwana,

51Humpa mfalme wake ushindi mkuu;

← 2 Samweli 21 2 Samweli 2 Samweli 23 →