We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

1 Nyakati 1

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

1 Nyakati 1 Nyakati 2 →

1Adamu, Sethi, Enoshi,

2Kenani, Mahalaleli, Yaredi,

3Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

4Wana wa Noa walikuwa:

5Wana wa Yafethi walikuwa:

6Wana wa Gomeri walikuwa:

7Wana wa Yavani walikuwa:

8Wana wa Hamu walikuwa:

9Wana wa Kushi walikuwa:

10Kushi akamzaa

11Misraimu akawazaa:

12Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

13Wana wa Kanaani walikuwa:

14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,

15Wahivi, Waariki, Wasini,

16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

17Wana wa Shemu walikuwa:

18Arfaksadi akamzaa Shela,

19Eberi alipata wana wawili:

20Wana wa Yoktani walikuwa:

21Hadoramu, Uzali, Dikla,

22Obali, Abimaeli, Sheba,

23Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.

24Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,

25Eberi, Pelegi, Reu,

26Serugi, Nahori, Tera,

27Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).

28Abrahamu alikuwa na wana wawili:

29Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:

30Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,

31Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

32Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:

33Wana wa Midiani walikuwa:

34Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.

35Wana wa Esau walikuwa:

36Wana wa Elifazi walikuwa:

37Wana wa Reueli walikuwa:

38Wana wa Seiri walikuwa:

39Wana wa Lotani walikuwa wawili:

40Wana wa Shobali walikuwa:

41Mwana wa Ana alikuwa:

42Wana wa Eseri walikuwa:

43Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:

44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

45Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

46Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

48Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.

49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

50Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

51Naye Hadadi pia akafa.

52Oholibama, Ela, Pinoni,

53Kenazi, Temani, Mibsari,

54Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.

1 Nyakati 1 Nyakati 2 →