1Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli;
2Sanamu huzungumza udanganyifu,
3“Hasira yangu inawaka dhidi ya wachungaji,
4Kutoka Yuda litatokea Jiwe la pembeni,
5Kwa pamoja watakuwa kama mashujaa
6“Nitaiimarisha nyumba ya Yuda
7Waefraimu watakuwa kama mashujaa,
8Nitawaashiria na kuwakusanya ndani.
9Ijapokuwa niliwatawanya miongoni mwa mataifa,
10Nitawarudisha kutoka Misri
11Watapita katika bahari ya mateso;
12Nitawaimarisha katika Bwana,