1Ee Bwana, Bwana wetu,
2Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao
3Nikiziangalia mbingu zako,
4mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,
5Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,
6Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;
7Mifugo na makundi yote pia,
8ndege wa angani na samaki wa baharini,
9Ee Bwana, Bwana wetu,