We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 22

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 21 Zaburi Zaburi 23 →

1Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

2Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,

3Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu;

4Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao,

5Walikulilia wewe na ukawaokoa,

6Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

7Wote wanionao hunidhihaki,

8Husema, “Anamtegemea Bwana,

9Hata hivyo ulinitoa tumboni,

10Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa,

11Usiwe mbali nami,

12Mafahali wengi wamenizunguka,

13Simba wangurumao wanaorarua mawindo

14Nimemiminwa kama maji,

15Nguvu zangu zimekauka kama kigae,

16Mbwa wamenizunguka,

17Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,

18Wanagawana nguo zangu wao kwa wao,

19Lakini wewe, Ee Bwana,

20Okoa maisha yangu na upanga,

21Niokoe kutoka kinywani mwa simba,

22Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,

23Ninyi ambao mnamcha Bwana, msifuni!

24Kwa maana hakupuuza wala kudharau

25Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa,

26Maskini watakula na kushiba,

27Miisho yote ya dunia itakumbuka

28kwa maana ufalme ni wa Bwana

29Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu.

30Wazao wa baadaye watamtumikia yeye;

31Watatangaza haki yake kwa watu

← Zaburi 21 Zaburi Zaburi 23 →