1Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,
2Na akutumie msaada kutoka patakatifu
3Na azikumbuke dhabihu zako zote,
4Na akujalie haja ya moyo wako,
5Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,
6Sasa nafahamu kuwa Bwana
7Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,
8Wao wameshushwa chini na kuanguka,
9Ee Bwana, mwokoe mfalme!