We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 20

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 19 Zaburi Zaburi 21 →

1Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,

2Na akutumie msaada kutoka patakatifu

3Na azikumbuke dhabihu zako zote,

4Na akujalie haja ya moyo wako,

5Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,

6Sasa nafahamu kuwa Bwana

7Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,

8Wao wameshushwa chini na kuanguka,

9Ee Bwana, mwokoe mfalme!

← Zaburi 19 Zaburi Zaburi 21 →