1Msifuni Bwana.
2ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana,
3Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema,
4Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
5Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu,
6Bwana hufanya lolote apendalo,
7Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
8Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
9Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
10Aliyapiga mataifa mengi,
11Mfalme Sihoni na Waamori,
12akatoa nchi yao kuwa urithi,
13Ee Bwana, jina lako ladumu milele,
14Maana Bwana atawathibitisha watu wake,
15Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
16Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
17zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
19Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana;
21Msifuni Bwana kutoka Sayuni,