We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 109

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 108 Zaburi Zaburi 110 →

1Ee Mungu, ambaye ninakusifu,

2kwa maana watu waovu na wadanganyifu

3Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,

4Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,

5Wananilipiza mabaya kwa mema,

6Agiza mtu mwovu ampinge,

7Anapohukumiwa, apatikane na hatia,

8Siku zake za kuishi na ziwe chache,

9Watoto wake na waachwe yatima,

10Watoto wake na watangetange wakiomba,

11Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,

12Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema

13Uzao wake na ukatiliwe mbali,

14Maovu ya baba zake na yakumbukwe

15Dhambi zao na zibaki daima mbele za Bwana,

16Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,

17Alipenda kulaani,

18Alivaa kulaani kama vazi lake,

19Na iwe kama joho alilozungushiwa,

20Haya na yawe malipo ya Bwana kwa washtaki wangu,

21Lakini wewe, Ee Bwana Mwenyezi,

22Maana mimi ni maskini na mhitaji,

23Ninafifia kama kivuli cha jioni,

24Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,

25Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,

26Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie,

27Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,

28Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,

29Washtaki wangu watavikwa fedheha,

30Kwa kinywa changu nitamtukuza sana Bwana,

31Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,

← Zaburi 108 Zaburi Zaburi 110 →