We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 10

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 9 Zaburi Zaburi 11 →

1Kwa nini, Ee Bwana, unasimama mbali?

2Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,

3Hujivunia tamaa za moyo wake;

4Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,

5Njia zake daima hufanikiwa;

6Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,

7Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;

8Huvizia karibu na vijiji;

9Huvizia kama simba aliye mawindoni;

10Mateka wake hupondwa, huzimia;

11Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,

12Inuka Bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu.

13Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

14Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

15Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,

16Bwana ni Mfalme milele na milele,

17Unasikia, Ee Bwana, shauku ya wanaoonewa,

18ukiwatetea yatima na walioonewa,

← Zaburi 9 Zaburi Zaburi 11 →