We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Hosea 2

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Hosea 1 Hosea Hosea 3 →

1“Waambie ndugu zako, ‘Watu wangu,’ na pia waambie dada zako, ‘Wapendwa wangu.’

2“Mkemeeni mama yenu, mkemeeni,

3Kama sivyo nitamvua nguo zake awe uchi

4Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake,

5Mama yao amekosa uaminifu

6Kwa hiyo mimi Mungu nitaizuia njia yake

7Gomeri atawafuatia wapenzi wake lakini hatawapata;

8Gomeri hajakubali kuwa mimi ndiye

9“Kwa hiyo nitachukua nafaka yangu wakati itakapokomaa

10Basi sasa nitaufunua ufisadi wake

11Nitakomesha furaha na macheko yake yote:

12Nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake,

13Nitamwadhibu kwa ajili ya siku

14“Kwa hiyo sasa nitamshawishi;

15Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,

16“Katika siku ile,” asema Bwana,

17Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake,

18Katika siku ile nitafanya Agano kwa ajili yao

19Nitakuposa uwe wangu milele;

20Nitakuposa kwa uaminifu,

21“Katika siku ile nitajibu,”

22nayo nchi itajibu kwa nafaka,

23Nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe;

← Hosea 1 Hosea Hosea 3 →