1“Waambie ndugu zako, ‘Watu wangu,’ na pia waambie dada zako, ‘Wapendwa wangu.’
2“Mkemeeni mama yenu, mkemeeni,
3Kama sivyo nitamvua nguo zake awe uchi
4Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake,
5Mama yao amekosa uaminifu
6Kwa hiyo mimi Mungu nitaizuia njia yake
7Gomeri atawafuatia wapenzi wake lakini hatawapata;
8Gomeri hajakubali kuwa mimi ndiye
9“Kwa hiyo nitachukua nafaka yangu wakati itakapokomaa
10Basi sasa nitaufunua ufisadi wake
11Nitakomesha furaha na macheko yake yote:
12Nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake,
13Nitamwadhibu kwa ajili ya siku
14“Kwa hiyo sasa nitamshawishi;
15Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,
16“Katika siku ile,” asema Bwana,
17Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake,
18Katika siku ile nitafanya Agano kwa ajili yao
19Nitakuposa uwe wangu milele;
20Nitakuposa kwa uaminifu,
21“Katika siku ile nitajibu,”
22nayo nchi itajibu kwa nafaka,
23Nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe;