1Maono ya Obadia.
2“Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,
3Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,
4Ingawa unapaa juu kama tai
5“Ikiwa wevi wangekuja kwako,
6Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,
7Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,
8“Katika siku hiyo,” asema Bwana,
9Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,
10Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,
11Siku ile ulisimama mbali ukiangalia
12Usingemdharau ndugu yako
13Usingeingia katika malango ya watu wangu
14Usingengoja kwenye njia panda
15“Siku ya Bwana iko karibu
16Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,
17Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo
18Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,
19Watu kutoka nchi ya Negebu
20Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani
21Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni