1Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
2Bwana ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi;
3Bwana si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu,
4Anakemea bahari na kuikausha,
5Milima hutikisika mbele yake
6Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu?
7Bwana ni Mwema,
8lakini kwa mafuriko makubwa,
9Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana
10Watasongwa katikati ya miiba
11Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja,
12Hili ndilo asemalo Bwana:
13Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako,
14Hii ndiyo amri Bwana aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi:
15Tazama, huko juu milimani,