1Wewe daima u mwenye haki, Ee Bwana,
2Umewapanda, nao wameota,
3Hata hivyo unanijua mimi, Ee Bwana;
4Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini,
5“Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda,
6Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe:
7“Nitaiacha nyumba yangu,
8Urithi wangu umekuwa kwangu
9Je, urithi wangu haukuwa
10Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibu
11Litafanywa kuwa jangwa,
12Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani
13Watapanda ngano lakini watavuna miiba;
14Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao.
15Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe.
16Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu.
17Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema Bwana.