1Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
2Akasema:
3Ulinitupa kwenye kilindi,
4Nikasema, ‘Nimefukuziwa
5Maji yaliyonimeza yalinitisha,
6Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,
7“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,
8“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa
9Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,
10Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.