We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 35

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 34 Ayubu Ayubu 36 →

1Ndipo Elihu akasema:

2“Je, unadhani hili ni haki?

3Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata,

4“Ningependa nikujibu wewe

5Tazama juu mbinguni ukaone;

6Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu?

7Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini,

8Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe,

9“Wanadamu hulia kwa kulemewa na mateso;

10Lakini hakuna asemaye, ‘Yuko wapi Mungu Muumba wangu,

11yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama wa dunia,

12Yeye hajibu wakati watu waliapo

13Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili;

14Si zaidi sana kwamba hatakusikiliza

15pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu

16Hivyo Ayubu hufumbua kinywa chake kwa maneno yasiyo na maana;

← Ayubu 34 Ayubu Ayubu 36 →