1Ndipo Elihu akasema:
2“Je, unadhani hili ni haki?
3Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata,
4“Ningependa nikujibu wewe
5Tazama juu mbinguni ukaone;
6Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu?
7Kama wewe ni mwadilifu, unampa nini,
8Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama wewe,
9“Wanadamu hulia kwa kulemewa na mateso;
10Lakini hakuna asemaye, ‘Yuko wapi Mungu Muumba wangu,
11yeye atufundishaye sisi zaidi kuliko wanyama wa dunia,
12Yeye hajibu wakati watu waliapo
13Naam, Mungu hasikilizi maombi yao ya ubatili;
14Si zaidi sana kwamba hatakusikiliza
15pia zaidi, kwamba hasira yake kamwe haiadhibu
16Hivyo Ayubu hufumbua kinywa chake kwa maneno yasiyo na maana;