We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 3

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 2 Ayubu Ayubu 4 →

1Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.

2Kisha akasema:

3“Siku ya kuzaliwa kwangu na ipotelee mbali,

4Siku ile na iwe giza;

5Giza na kivuli kikuu kiikalie tena;

6Usiku ule na ushikwe na giza kuu;

7Usiku ule na uwe tasa;

8Wale wazilaanio siku wailaani hiyo siku,

9Nyota zake za alfajiri na ziwe giza;

10kwa sababu huo usiku haukunifungia

11“Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa?

12Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea

13Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani.

14pamoja na wafalme na washauri wa dunia,

15pamoja na watawala waliokuwa na dhahabu,

16Au kwa nini sikufichwa ardhini kama mtoto aliyezaliwa mfu,

17Huko waovu huacha kusumbua

18Wafungwa nao hufurahia utulivu wao,

19Wadogo na wakubwa wamo humo,

20“Mbona nuru inawaangazia wale walio taabuni,

21wale wanaotamani kifo ambacho hakiji,

22ambao hujawa na furaha,

23Kwa nini uhai hupewa mtu

24Kwa maana kulia kwangu kwa uchungu kwanijia badala ya chakula;

25Lile nililokuwa naliogopa limenijia;

26Sina amani, wala utulivu;

← Ayubu 2 Ayubu Ayubu 4 →