We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 28

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 27 Ayubu Ayubu 29 →

1“Kuna machimbo ya fedha,

2Chuma hupatikana ardhini,

3Mwanadamu hukomesha giza;

4Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya watu,

5Ardhi, ambako chakula hutoka,

6yakuti samawi hutoka katika miamba yake,

7Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika,

8Wanyama wa porini wanaotamba hawajawahi kupakanyaga,

9Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana,

10Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba;

11Hutafuta vyanzo vya mito

12“Lakini hekima inaweza kupatikana wapi?

13Mwanadamu hatambui thamani yake;

14Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’;

15Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi kuliko zote,

16Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu ya Ofiri,

17Dhahabu wala mawe maangavu haviwezi kulinganishwa nayo,

18Marijani na yaspi hazistahili kutajwa;

19Yakuti manjano ipatikanayo Kushi haiwezi kulinganishwa nayo,

20“Ni wapi basi hekima itokako?

21Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai,

22Uharibifu na Mauti husema,

23Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekima

24kwa maana yeye huitazama miisho ya dunia

25Alipofanyiza nguvu za upepo

26alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua

27ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake,

28Naye Mungu akamwambia mwanadamu,

← Ayubu 27 Ayubu Ayubu 29 →