We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 26

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 25 Ayubu Ayubu 27 →

1Kisha Ayubu akajibu:

2“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

3Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

4Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

5“Wafu wako katika maumivu makuu,

6Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

7Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

9Huufunika uso wa mwezi mpevu,

10Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

11Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

12Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

13Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

14Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

← Ayubu 25 Ayubu Ayubu 27 →