We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ayubu 16

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ayubu 15 Ayubu Ayubu 17 →

1Kisha Ayubu akajibu:

2“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya,

3Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho?

4Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi,

5Lakini kinywa changu kingewatia moyo;

6“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi;

7Ee Mungu, hakika umenichakaza;

8Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi;

9Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake,

10Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki;

11Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya,

12Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja;

13wapiga upinde wake wananizunguka.

14Huniponda tena na tena;

15“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu

16Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,

17Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri,

18“Ee nchi, usiifunike damu yangu,

19Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni;

20Mwombezi wangu ni rafiki yangu

21kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu

22“Ni miaka michache tu itapita

← Ayubu 15 Ayubu Ayubu 17 →