We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Isaya 5

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Isaya 4 Isaya Isaya 6 →

1Nitaimba wimbo kwa ajili ya mmoja nimpendaye,

2Alililima na kuondoa mawe

3“Basi enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda,

4Ni nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa shamba langu la mizabibu

5Sasa nitawaambia lile nitakalolitendea

6Nitalifanya nchi ya ukiwa isiyokaliwa na watu,

7Shamba la mzabibu la Bwana Mwenye Nguvu Zote

8Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya nyumba

9Bwana Mwenye Nguvu Zote amesema nikisikia:

10Shamba la mizabibu la eka kumi

11Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema

12Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,

13Kwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni

14Kwa hiyo kaburi5:14 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. limeongeza hamu yake

15Hivyo mwanadamu atashushwa,

16Lakini Bwana Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa

17Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe,

18Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu

19kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka,

20Ole wao wanaoita ubaya ni wema,

21Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe,

22Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo,

23wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo,

24Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nyasi,

25Kwa hiyo hasira ya Bwana inawaka dhidi ya watu wake,

26Yeye anainua bendera kwa ajili ya mataifa yaliyo mbali,

27Hakuna hata mmoja wao anayechoka wala kujikwaa,

28Mishale yao ni mikali,

29Ngurumo yao ni kama ile ya simba,

30Katika siku ile watanguruma juu yake

← Isaya 4 Isaya Isaya 6 →