1Nitaimba wimbo kwa ajili ya mmoja nimpendaye,
2Alililima na kuondoa mawe
3“Basi enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda,
4Ni nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa shamba langu la mizabibu
5Sasa nitawaambia lile nitakalolitendea
6Nitalifanya nchi ya ukiwa isiyokaliwa na watu,
7Shamba la mzabibu la Bwana Mwenye Nguvu Zote
8Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya nyumba
9Bwana Mwenye Nguvu Zote amesema nikisikia:
10Shamba la mizabibu la eka kumi
11Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema
12Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,
13Kwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni
14Kwa hiyo kaburi5:14 Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol. limeongeza hamu yake
15Hivyo mwanadamu atashushwa,
16Lakini Bwana Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa
17Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe,
18Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu
19kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka,
20Ole wao wanaoita ubaya ni wema,
21Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe,
22Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo,
23wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo,
24Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nyasi,
25Kwa hiyo hasira ya Bwana inawaka dhidi ya watu wake,
26Yeye anainua bendera kwa ajili ya mataifa yaliyo mbali,
27Hakuna hata mmoja wao anayechoka wala kujikwaa,
28Mishale yao ni mikali,
29Ngurumo yao ni kama ile ya simba,
30Katika siku ile watanguruma juu yake