1“Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli
2na useme:
3Alimlea mmoja wa watoto wake,
4Mataifa wakasikia habari zake,
5“ ‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki,
6Alizungukazunguka miongoni mwa simba,
7Akabomoa ngome zao
8Kisha mataifa wakaja dhidi yake
9Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu
10“ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu
11Matawi yake yalikuwa na nguvu,
12Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali
13Sasa umepandwa jangwani
14Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa