We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Ezra 2

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Ezra 1 Ezra Ezra 3 →

1Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,

2wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

3wazao wa Paroshi

4wazao wa Shefatia

5wazao wa Ara

6wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu)

7wazao wa Elamu

8wazao wa Zatu

9wazao wa Zakai

10wazao wa Bani

11wazao wa Bebai

12wazao wa Azgadi

13wazao wa Adonikamu

14wazao wa Bigwai

15wazao wa Adini

16wazao wa Ateri (kupitia Hezekia)

17wazao wa Besai

18wazao wa Yora

19wazao wa Hashumu

20wazao wa Gibari

21watu wa Bethlehemu

22watu wa Netofa

23watu wa Anathothi

24watu wa Azmawethi

25wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi

26wazao wa Rama na Geba

27watu wa Mikmashi

28watu wa Betheli na Ai

29wazao wa Nebo

30wazao wa Magbishi

31wazao wa Elamu ile ingine

32wazao wa Harimu

33wazao wa Lodi, Hadidi na Ono

34wazao wa Yeriko

35wazao wa Senaa

36Makuhani:

37wazao wa Imeri

38wazao wa Pashuri

39wazao wa Harimu

40Walawi:

41Waimbaji:

42Mabawabu wa lango la Hekalu:

43Watumishi wa Hekalu:2:43 Yaani Wanethini (pia 2:58, 70).

44wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

45wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

46wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

47wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

48wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

49wazao wa Uza, Pasea, Besai,

50wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

51wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

52wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

53wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

54wazao wa Nesia na Hatifa.

55Wazao wa watumishi wa Solomoni:

56wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

57wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

58Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni

59Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

60wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda

61Kutoka miongoni mwa makuhani:

62Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.

63Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.2:63 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.

64Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;

65tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.

66Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,

67ngamia 435 na punda 6,720.

68Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.

69Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,0002:69 Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500. za dhahabu, mane 5,0002:69 Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900. za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

70Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

← Ezra 1 Ezra Ezra 3 →