We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Mhubiri 7

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Mhubiri 6 Mhubiri Mhubiri 8 →

1Afadhali sifa nzuri kuliko manukato safi,

2Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba

3Huzuni ni afadhali kuliko kicheko,

4Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba,

5Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima,

6Kama ilivyo kuvunjika kwa miiba chini ya sufuria,

7Dhuluma humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu,

8Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake,

9Usiwe mwepesi kukasirika rohoni mwako,

10Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?”

11Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema

12Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi,

13Tafakari kile Mungu alichokitenda:

14Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi,

15Katika maisha haya yangu ya ubatili nimeshaona haya mawili:

16Usiwe mwenye haki kupita kiasi,

17Usiwe mwovu kupita kiasi,

18Ni vyema kushika hilo moja

19Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidi

20Hakuna mtu mwenye haki duniani

21Usitie maanani kila neno linalosemwa na watu,

22kwa kuwa unafahamu moyoni mwako

23Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema,

24Vyovyote hekima ilivyo,

25Nikageuza fikira zangu ili kuelewa,

26Nimeona jambo lililo chungu kuliko mauti,

27Mhubiri anasema, “Tazama, hili ndilo nililogundua:

28ningali natafiti

29Hili ndilo peke yake nililolipata:

← Mhubiri 6 Mhubiri Mhubiri 8 →